Email: info@jkuz.go.tz  |  P.o.Box: 985  |  Tel: 0242238030  |  Fax: 0242232149


Logo
MAJUKUMU YA JESHI LA KUJENGA UCHUMI ZANZIBAR (JKUZ)

MAJUKUMU YA MSINGI( Objectives)
1. Malezi ya Vijana

    Vijana kufundishwa moyo wa kupendana bila kujali tofauti za itikadi, dini, kabila na kipato.
    Kupenda kazi za mikono.
    Kuthamini na kuendeleza mila, desturi na kudumisha utamaduni wa Taifa.
    Kuwa raia wema, wanaojiamini, wanaojituma, wenye uzalendo na kuipenda nchi yao.
2. Ulinzi wa Taifa
    Kuwapa vijana mbinu za kijeshi wawe Jeshi la akiba, kuwaandaa vijana watakaofaa kujiunga na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama.
    Kuwaandaa vijana kusaidia katika majanga mbalimbali, mfano mafuriko, moto na ajali mbali mbali.
3. Uzalishaji Mali
    Ili kuwafanya vijana wa Kizanzibari waepukane na kusumba kuwa kazi za ofisini ndio njia pekee na bora inayomuwezesha mtu kuishi, JKU linahusika na uzalishaji mali kwa lengo la kuwawezesha vijana kujiajiri katika sekta mbali mbali mara baada ya kumaliza mkataba na JKU. Uzalishaji mali unaofanywa na JKU ni pamoja na:-
    Kujenga na kukarabati majengo
    Viwanda na Kilimo
    Madini na Nishati
    Utalii
    Ulinzi kwa Taasisi binafsi na za kiserikali (JKU Security Guard Agency)
    Maduka (Super Market)
    Kuunganisha magari na mitambo
    Huduma za elimu


MWENGE WA UHURU 2020/2023 KUWASILI ZANZIBAR NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE KATIK VIWANJA VYA ABEID KARUME

INT 018/2023 KUMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO JKU DUNGA

VIJANA JKU WAFAIDIKA NA MAFUNZO YA UVUVI NA UBAHARIA, WAFANIKIWA KUTENGENEZA BOTI AINA YA FIBER


WASILIANA NASI
  • Email: info@jkuz.go.tz
  • P.O.Box: 985
  • Fax: 0242232149
  • Tel: 0242238030
WALIOTEMBELEA TOVUTI