Email: info@jkuz.go.tz  |  P.o.Box: 985  |  Tel: 0242238030  |  Fax: 0242232149


Logo
HABARI ZA WAKALA WA ULINZI WA JKU

KUHUSU WAKALA WA ULINZI WA JESHI LA KUJENGA UCHUMI(JKU SGA)

Created at 1 year ago

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu Namba9 (1) cha Sheria ya Uwakala wa Ulinzi wa JKU Zanzibar Namba 2 ya mwaka 2015, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein amemteua LT.COL. JABIR HAJI HAMZA kuwa MKURUGENZI MTENDAJI WA UWAKALA WA ULINZI WA JKU ZANZIBAR.

Uteuzi huo unaanzia tarehe 03 Agosti, 2017. 


MWENGE WA UHURU 2020/2023 KUWASILI ZANZIBAR NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE KATIK VIWANJA VYA ABEID KARUME

INT 018/2023 KUMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO JKU DUNGA

VIJANA JKU WAFAIDIKA NA MAFUNZO YA UVUVI NA UBAHARIA, WAFANIKIWA KUTENGENEZA BOTI AINA YA FIBER


WASILIANA NASI
  • Email: info@jkuz.go.tz
  • P.O.Box: 985
  • Fax: 0242232149
  • Tel: 0242238030
WALIOTEMBELEA TOVUTI